Tuesday, September 30, 2008

HALI YA SINTOFAHAMU UDSM NA KWINGINEKO!!

Imetokea hali ya sintofahamu katika kampasi ya Chuo kikuu cha Dar es Saalam na vyuo vinginevyo hapa Tanzania kama vile Chuo kikuu cha Ardhi........Hali hii imechangiwa na wanafunzi wengi kuanzia mwaka wa pili na wa tatu kutokuwa na matokeo yao mpaka leo na kutokuwa na fedha za kujikimu kutokana na kukosa matokeo yao....Hali ilivyo ni kwamba bodi haiwezi kukupa fedha za kujikimu kama hauna matokeo yako!!.....
Kwa nini basi watu hawana matokeo??...kama nilivyowahi kuripoti siku zilizopita ni kuwa matokeo yao yalifungiwa kutokanana wengi wao kushindwa kulipa ada wanazodaiwa....yaani kumalizia asilimia ya ada ambayo bodi haijamlipia mwanafunzi..........
Nilivyoongea na wengi wa wanafunzi ambao hawajalipa...inadhihirisha kuwa engi wao hawana uwezo wa kufanya hivo!!...Nilipoongea na viongozi wa DARUSO yaani viongozi wa serikali ya wanafunzi wakasema kuwa wanajitahidi lakini utawala bado umekataa kuyatoa matokeo hayo.....
Ukweli ni kwamba mitihani ya supplementary imeshafanyika na wasio na matokeo ina maana mitihani imeshawapita na chuo kimeshafunguliwa kwa mwaka mwingine wa masomo......
Habari nyepesi nilizozipata ni kwamba bunge la wanafunzi linakaribia kukaa muda wowote wiki hii na hatujui ni nini wataamua...lakini kama ninavyojua imani ya wanafunzi ni kuwa mgomo utawasaidia....... Sijui itakuwaje na Bunge litaamua nini?
Bado hali ni tete UDSM na wanafunzi wengi hawana amani kabisa na wengine bado wanasita kuhamia chuoni.....Kwa wale wanaoanza mwaka wa kwanza ndio balaa zaidi!!ntawapa situation yao baada ya kufuatilia kidogo....

TABU TABU TABU KUSOMA TANZANIA!!...BALAA BALAAKUWA MASIKINI!!.....POLENI MARAFIKI NA TUNAAMINI BODI ITAWAFIKIRIA NA KUWAPA FEDHA ZENU NA CHUO KITAWAPA MATOKEO.
Wenu,
William aka Bill Jax

JE WADAU MNAMKUMBUKA DADA AMINA CHIFUPA??


Yapata mwaka na miezi michache tangu dada ye2 Marehemu Amina Chifupa atutoke duniani !
Kwa wale wapenzi wa Clouds FM tutakumbuka sauti yake nzuri na wale Wanaharakati za za Siasa mtakumbuka harakati zake wakati akiwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano.
MUNGU AZIDI KUNEEMESHA PEPO YA DADA YE2
J e mdau unakumbuka nini au nini kilikufurahisha kwa Dada Amina?
Pichani Akila kiapo mbele Bungeni kma Mbunge na nyingine akila pozi kisela home kwake !


Huyu ni mtangazaji Dina Marios wa
Clouds FM. Ndio hivi sasa anakalia kiti alichowahi kukalia Marehemu Amina Chifupa .Dina Marios anaendesha kipindi cha Leo Tena kinachorushwa na radio hiyo Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa tatu asubuhi mpaka saba mchana.

Kama asingekuwa anajitambulisha kipindi kinapoanza wasikilizaji tungeendelea kuamini kuwa mtangazaji bado ni Amina.Voko mlemle mwanangu! Naona kisura wanashabihiana !Kama mdogo wake vile !

Sunday, September 28, 2008

VITUZZZZZ KUTOKA KWA KAKA MAKULILO!!!!

Habari,
Nimepata tips hizi ni muhimu mno, NONDOZZZZZ 2009 Scholarships/Fellowships in Netherlands. Open
www.makulilo.blogspot.com for more opportunities.

TANGAZO LENYEWE HILI HAPA

Fellowships for International Students in Netherlands: Masters, PhD and Short Courses: The Netherlands Fellowship Programmes (NFP) are demand-driven fellowship programmes designed to foster capacity building within organizations in 57 developing countries by providing training and education to their mid-career staff members. As of 1 January 2009 the NFP country list will be extended with Burundi, DR Congo, Kosovo and Sudan.
50% of the available fellowships should be awarded to fellowships for female candidates, and 50% of the available budget should be spent on candidates from sub-Saharan Africa. Apart from this, priority is given to candidates from deprived groups and/or from marginalized regions.

The NFP are funded by the Netherlands Ministry of Foreign Affairs from the budget for development co-operation.
Employer support
The need for education and training must be linked to the institutional development of the organization the applicants are working for. This means that applicants must be nominated by their employers. In fact, applications without the support of an employer will not be considered.
NFP sub-programmes
§
Fellowships for master’s degree programmes
§

Fellowships for PhD studies

§
Fellowships for short courses
NFP master’s, NFP short courses and NFP PhD studies award fellowships to individuals. NFP also finances refresher courses for NFP alumni who would like to prolong the effect of earlier learning and update their knowledge and skills.
Applying for NFP
Applicants for PhD studies, master’s degree programmes or short courses must first gain academic admission to the course of their choice before applying for a fellowship through the Netherlands embassy or consulate in their country. Also, they can only apply for an NFP fellowship if the course is on the NFP course list for that particular year.
In all cases, applicants are advised to contact the Netherlands embassy, consulate or Neso well in advance for specific instructions, and to inquire about specific local procedures and deadlines, requirements and selection criteria. These may differ from the general information provided on Nuffic’s website or in the brochures.

More information
More information about NFP, including the application forms, are available at Netherlands embassies and consulates, Neso offices or from this website under the three different sub-programmes as mentioned above.
NFP country list
To be eligible for an NFP fellowship, applicants must be a national of one of the following countries. (Note: as of 1 January 2009 the NFP country list will be extended with Burundi, DR Congo, Kosovo and Sudan.)
http://www.nuffic.nl/international-students/scholarships/asia-africa-latin-america-and-eastern-europe/the-netherlands-fellowship-programmes
Download the application deadlines 2009 [pdf]

Tanzania Kenya Bangladesh and many other countries
SOURCE:

http://scholarship-positions.com/fellowships-for-international-students-in-netherlands-masters-phd-and-short-courses/2008/09/23/

MDAU
MAKULILO Jr,
makulilo@marshall.edu
www.makulilo.blogspot.com
Mobile +1 304 633 0978

Wednesday, September 24, 2008

IS NOT JOKES CANADIAN CITIZENSHIP ARE NOW EASIER FOR YOU

continuation from last poting.
The canadian experience class will allow certain temporary foregn workers and certain foregn student graduates with managerial,professional, or technical or trade work experience to apply to become permanent residents, and eventually Canadian citizens reads the statement from Canada.
According to Canadian minister of citizenship and immigration Diane Finley, all applicants,depending on their occupational skill level, will be required to demostrate their basic or moderate language skills.
The canadian experience class is one more measure this government is proposing to make our immigration system more attractive and accessible to individual with diverse skills from around the world, and more responsible to the canada`s labour market needs,"said minister Finley".This new proposed avenue for immigration would also go further to spread the benefits of immigration into smaller centres across Canada.
The Canadian experience class comes after a number of recent initiatives the government has undertaken to help newcomers succeed and help make Canada a more attractive destination for skilled individual from around the world.
Through the Canadian experience class, newcomers will be more likely to make most of their abilities while undergoing a more seamless social and economic transition to Canada.And, in turn, their cultural and economic contributions will enrich Canada
Choosing newcomers based on knowledge of our labour market and experience within Canadian society would make Canada a more attractive destination for skilled individuals from around the world,"added minister Finley.
"international students and skilled workers would be more likely to choose Canada if they knew their time in Canada and contribution to Canadian society would assist in their eligibilty to apply to stay permanently".
mpo hapo wadau, mara ooh mshikaji acha longolongo,kwenda Canada si rahisi kama unvyofikiria,mchele huo nimewamwagia,
kazi kwenu,
mi simo,
good tym,
Francis philip

ROOMS! ROOMS!!! SHULE ITAENDA JAMANI!!!

At this times Vyuo vingi ndo vinafunguliwa Halafu ndo michakato ya Rooms jamani imekuwa tite, most of students are now wandering in their campusses..... Guess What they are doing???
unaweza ukafikiri wote wana'supps' , Amna........... !!!!!!!
ni mishemishe za kutafuta rooms kwa ajili ya The Coming Academic year, mbaya zaidi uwezekano wa kupata rooms unazidi kuwa finyu kwani mfano UDSM wanafunzi waliokuwa wanatakiwa wapangiwe Kijitonyama hostels sasa hivi watajikuta wanafight kupata rooms main campas hivyo kuongeza competition kwa wanafunzi wengine, Pia mdau ametutaarifu hali iko hivyohivyo kwenye campas za Duce na Muce pia UDOM, ebwana jamani hali inaonekuwa ngumu zaidi baada ya kusikika kwamba Block F ya mabibo hostels imekuwa allocated wanafunzi wa poostgraduates tu........ Du!!! Mwaka huu shule itaanza kibishi!!! ila I hope hali itakuwa shwari kidogo after sometime, nadhan uongozi unajitahidi kuliweka hili liwe under control.
guys i dont think theres a need to panick, rooms zitapatikana tu....au vp???????

Tuesday, September 23, 2008

IS IT POSSIBLE FOR SECOND AND THIRD YEAR STUDENTS OF INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT?

Hello there again!!! students of the Institute of Finance Management i hope you are doing well enough with your holiday right hommies?.On 23rd september 2008 i received a text from the minister of education of IFMSO saying `Ndugu wanafunzi wenzangu wa IFM nikiwa kama waziri wa elimu wa IFMSO ninaomba ushirikiano wenu kwenye maandamano yatakayofanyika chuo kitakapofunguliwa hapo mwezi wa kumi` ujumbe mkubwa uliobeba message hiyo ni `kwa nini tusipewe Degree wote?, ikiwa wanafunzi waliodahiliwa mwaka huu kuanza mwaka wa kwanza chuoni hapa wanachukua Degree!!!!!!.ujumbe huo uliendelea kuwaomba wanafunzi wote wa IFM kuonyesha ushirikiano wa kutosha katika suala hilo kwani bila ushirikiano wao jambo hilo haliwezi kufanikiwa!!!!!! swali kubwa katika mchakato huu ni je inawezekana?? hakika jibu la swali hili lipo mikononi mwa wadau wote wa chuo hicho maalufu cha usimamizi wa masuala ya fedha hapa nchini, Management ya chuo ikiongozwa na professor Doliye mna kazi kubwa kutufanikishia suala hili,wanafunzi wenyewe you do have a great role to play!!.wanafunzi wa IFM uwanja ni wenu katika suala hilo wenzenu wa ustawi wa jamii wameshaanza mapemaa!!!.
francis philip,
Institute of finance management.

Sunday, September 21, 2008

TUMESEMA TUNATAKA BACHELA!!!



Wadau wenzetu waliomaliza mwaka wa tatu pale chuo cha ustawi wa jamii wamefukuzwa rasmi hapo juzi kuwa watoke kwenye hostelz hizo hapo kushoto!!.......wameambiwa wawapishe mwaka wa kwanza kwa sababu wakati wao umekwisha na kesi yao bado ngumu...!!

Si mlisikia??...Wadau walikuwa admitted kwa ajili ya advanced diploma lakini mwaka baadaye chuo kikaanza kutoa bachelor kwa hiyo wadau nao walitaka kupewa bachelor na wakagoma kufanya mitihani yao ya mwisho....mh siju itakuwaje??...kesi iko mahakamani ikisimamiwa na mwanasheria maarufu kutoka kitivo cha sheria UDSM dokta Mvungi..kawafanyia fair ofcourse!!.....WE ARE HOPING THAT YOU GONNA WIN YOUR CASE PALS!!...

Wenu mdau william famously known as bill jax........

MJASIRIAMALI WA MAPENZI!!

Wadau nafahamu kabisa kuwa mnafuatilia vyombo vya habari na kwa hiyo ili ninalolileta si geni kwenu!!........Mnamo juzi hapa mwanafunzi mwenzetu alikamatwa pale chuo cha ustawi wa jamii akimfanyia pepa ya supplementary girlfriend wake(his sweetheart ofcourse)....Alivyokamatwa alipigwa picha na runinga maarufu hapa nchini na alikuwa anajaribu kujificha lakini walinzi walimshika kwa nguvu mpaka wakapata clear picture ya kuwapa wananchi.....mhh jamani!!
Mshikaji ni mwanafunzi wa chuo chetu marafiki wa MZUMBE na mdada ni wa palepale USTAWI na kozi wanayosoma inafanana na ndio maana jamaa akapiga pepa!!............Kwa hiyo jamaa alitaka kuonyesha ushujaa kwa mpenzie na kwamba mapenzi yao yako level nyingine!!

Kwenu wadau...jamani tumefikia hatua hiyo ya kusacrifice masomo yetu sababu ya mapenzi duh!!...hawa watu nadhani wote wawili watakosa chuo na sijui kama mapenzi yataendelea...!!Labda watakuwa wanaoneana huruma kwa hiyo watafarijiana...mh sijui!!
Tabia za kufanyiana mitihani ya sup na ya mwisho ni tabia iliyokithiri sana vyuoni...either kwa kulipa hela ufanyiwe mitihani au kwa sababu binafsi kama hiyo ya kudhirisha mapenzi ya dhati!!......Jamani mapenzi sasa yanatupeleka kubaya!!..Tujirekebishe jamani wanavyuo na tujue haya mapenzi yana jinsi ya kuyachukulia na yana mipaka yake..........
POLENI NYIE WAPENZI WAWILI LAKINI TUNAAMINI FAMILIA INAENDELEA KUWEPO!!

Friday, September 19, 2008

ARE WE ON THE RIGHT TRACK FELLOWS?



College students all over the world are ranked academically wise according to what is called Grade Point Average (GPA). Due to this, every student struggles to get as higher GPA as they can.

Oddly, many students, in particular Tanzanian students have been devoting too much of their energy attempting to achieve higher GPA while forgetting wholly that studying, in essence goes far beyond that.
If I ask why do we enroll at colleges? I believe, most of you will deliver quite the same answer, we aim at enriching our intellect and get a life time assurance of good job opportunities, the formal being the ultimate reason.
It is alleged, and in some situations true that higher GPA students get wider opportunities in job seeking and put themselves in a good position to get employed easily. The adage is true; however it’s not always the case.
It is not subject to discussion that, we ought to work so hard as to get good GPA to prove to the employers that we are intelligent and well capable to master our carrier well. But we should never set that as our primary goal for our studying.
As a matter of fact, higher GPA will only enable us to be spotted easily but not employed easily and this is because Employers nowadays have come to realize GPA is not a good indication of competence. They have deviced other means to measure level of applicants' competence,like extended interviews which contain demostrations and sophiscated basket of questions concerning exposure on the whole.
So as a piece of advice, I urge you all, if you surely want to fulfill your dreams and reach your beautiful destiny before you know it, then as a college student, you'd better concentrate much on knowledge rather than performance (GPA), expose yourself rather than confine yourself to class materials.
it's me and only me, emmino.......and by the way, not to decide is still to decide.

Wednesday, September 17, 2008

HE EVER SAID THESE WORDS!!


I salute you again my hero Kambarage nyerere....my fellow students i urge you to consult his writings because you gonna obtain a lot of wise words!!...A question to you Universty of Dar es salaam...Why did you ignore his contribution to our nation?See your collegues below,they recognised and aknoweldged his wisdom and briliance and thats why they gave him honorary degrees!!


One day when he was adressing the first year students who got a privilege to study at University of Dar es Salaam,he ever said these words...


Those who receive this privilege therefore, have a duty to repay the sacrifice which others have made.They are like a man who has been given all the food available in a starving village in order that he might have strength to bring supplies back from a distant place. If he takes this food and does not bring help to his brothers, he is a traitor. Similarly, if any of the young men and women who are given an education by the people of this republic and adopt attitudes of superiority, or fail to use their knoweldge to help the development of this country, then they are betraying our nation.


Now my fellow students are we traitors or not, we have been given this opportunity by our parents, what are we doing to repay sacrifice which others have made??...


I submit it....yours william.

HE IS MORE THAN THE WAY YOU KNOW HIM!!


First let me introduce him....he was famously known by the name of father of the nation(baba wa taifa), our hero ofcourse!!He acted locally but in no doubt he thought globally....by my side the ones succeeded him are the ones who did put us in this seemingly bad position socially and economically....
Rest in peace our hero and we promise that next month in your day 14th of october we will put a lot of your wise words you spoke in this blog....

I know you do not agree with my words because you are a young Tanzanian at college trying to question some of the things he did...but you better think positively and work on his ideas...this is the story of his education if you think that you are over him....
Kambarage Nyerere was born on April 13, 1922. He began attending Government Primary School in Musoma at the age of 12 where he completed the 4 years programme in 3 years and went on to Tabora Government School(Tabora boys my former schoool ofcourse) in 1937. He received a scholarship to attend Makerere University in Kampala, Uganda where he obtained a teaching Diploma. He returned to Tanganyika and worked for 3 years at St. Mary’s Secondary School in Tabora, where he taught Biology and English. In 1949 he got a scholarship to attend the University of Edinburgh (he was the first Tanzanian to study at a British university and only the second to gain a university degree outside Africa) where he obtained his Masters of Arts degree on Economics and History in 1952. In Edinburgh, partly through his encounter with Fabian thinking, Nyerere began to develop his particular vision of connecting socialism with African communal living.
Still doubting that he is not that kind of a person...okay don't worry just look at the above post and you can imagine how wise the man was!!

Its me william famously known as bill jax.

FROM BOOM TO A MERE SALARY

I have been holding this news for days but now it’s about time I let you find out what is all about. First rumours had it that students allowance will be paid in monthly instalments just like salary commencing from the new coming semester, but now it’s no longer rumours it’s a fact.
I feel pity for my self and for all along with me who are going to be thrown into the same turmoil. Initially this may seem merely the same thing but if you try to dig a bit deeper into it you will obviously come to realise it’s too deplorable and problematic as compared to the previous one.
Having all money at the beginning can put you into a better situation to budget, handle and determine how you can level high your welfare, it’s absolutely true that many students acquire assets by clever budgeting of their boom. Morever some students invest on different businesses to increase their income so as to enhence their plan. It's beyond a shadow of a daught that By switching off this access students won’t be able to do all these.
From financial concepts point of view, time value of money really and surely counts, a dollar today isn’t the same as a dollar tomorrow regardless of the difference. This in the rough look may sound illogical but it carries significant reward with it. I believe you are well familiar with different financial rates and charges like interests; they exist to balance against that. So don’t ever say "Either,I don't mind,it's all the same."
One can be tempted to say this new policy is worth adopting owing to the fact that it will prevent some of students from running out of money before a semester ends, that’s is true, but only for those students who despite their level of education cant seem to benefit and improve their way of thinking and organising their own lives, it doesn’t make any sense for a college student to be unable to budget allowance. Failure to do just that will definitely mean that you won’t be able to even manage your own expected future family.
Lastly I’m calling upon you all, let’s take this seriously and be considerate about our welfare, I think in the first place it would wise and more polite that they would discuss with us before jumping to deciding for us. After all it is our concern.
I’m taking this small plot to say HELLO to all guys studying commerce & management at UDSM and the rest of the colleges.

it's me and only me, emmino......................................tek kea

DO YOU KNOW CANADIAN CITIZENSHIP ARE NOW EASIER FOR YOU

Foreign students and young professional from Tanzania with the aim to make a living in Canada will probably rub hands with glee as the Canadian government has lessned the conditions for acquiring citizenship.
The new system called CANADIAN EXPERIENCE CLASS will make it increasingly easy for certain temporary foreign workers and foreign students to become permanent residents........
more to come very soon................
Francis

THE LETTER FROM MY FATHER

Mwanangu mpendwa,
Niligubikwa na furaha isiyo na kifani nilipowasiliana nawe,baada ya kimya cha muda mrefu.Mimi na shughuli zangu na kufanya mambo yale yote, kama ujuavyo,Mwananchi anayotarajiwa kufanya nchini hapa.Ni hivi karibuni nimerejea nyumbani nikitokea London, Uingereza,nilikopelekwa kufanya kazi zilizohusu masuala kadhaa ya kiserikali, majadiliano kuhusu masuala ya fedha na kadhalika,
Ni kutokana na safari zangu nyingi za kikazi,ndiyo maana nakosa muda wa kukuandikia.Lakini, hata hivyo, nitajitahidi kadri ya uwezo wangu kutafuta jinsi ya kuwasiliana nawe kuanzia sasa.
Bila shaka utafurahi kusikia kuwa kaka na dada zako huku hawajambo na wanakusalimia sana.Kama ilivyo kwangu, naona wameridhia uamuzi wako wa kurudi nyumbani mara utakapo hitimu masomo yako.utakapofika, ndipo tutakapokaa pamoja na kuamua muda utakaotaka kukaa hapa nyumbani kwako.
Barrack, hata kama ni kwa siku chache kiasi gani lakini ni muhimu kwako kuwafahamu nguguzo, vivyo hivyo kujua kwako ni wapi.Nakutakia kila la Kheri na nisalimie Mama yako,Tutu na Stanley.
Natarajia tutawasiliana nawe muda si mmrefu.
Baba yako.

Hii ni barua kwa Rais mtarajiwa wa Marekani (BARACK OBAMA) kutoka kwa Baba yake mzazi BARACK HUSSEIN OBAMA SR aliyomwandikia kijana wake kumtaka aje nyumbani (KENYA) kupajua anapotokea na kuwajua ndugu zake waliopo Kenya.Kama kuna kitu cha muhimu ambacho Mzee Obama (mzazi) angejivunia kama angekuwa hai hadi sasa, basi ni Damu yake hii ambayo ina asili ya kiafrica aliyoizaa, Damu hii inataka kuleta mabadiliko ya kihistoria katika nchi hiyo ya Marekani, mshikaji nia anayo kweli,uwezo wa kufanya hivyo anao ,hilo hakuna mtu asiyelijua, ushahidi tunaoendelea kukuona jinsi anavyowachachafya wapinzani wake katika chaguzi za awali na kwenye campaign zake za kufa mtu ni kielelezo tosha kabisa!!!!!!!!!!!!.
Nini kitatokea, tusubiri uchaguzi mkuu ambao unafanyika November mwaka huu kuona kama kweli ndoto ya Mwafrica huyu mwenzetu zinatimia..............
Francis philip

Monday, September 15, 2008

CONFE!! CONFEREN!!!! CONFERENCIIIIIIIIIIII!!!...............

I feel so sorry for vimbweta, they are being heated badly right now,they are in serious trouble,they were expected to be resting now after a long and hectic semester.
Don't say you have no idea what I'm talking about!!any way I guess you need a bit of elaboration to get a clear picture of what is going on at UDSM campus(our fellow students) and I'm going to grant it.............
It's customary for college students who didn't pass well their university exams to report earlier for supplementary exams. I agree on that, its a usual culture and it happens every year.
what makes this-time situation odd and rather unfamiliar is that,the college is too crowded as if everything is open. I almost see everyone I know, don't ask why I'm there now!I'm still doing my PT and I live on campus that's why I happen to meet and see people gathering on vimbweta.
but that's not my point for posting this article. I just wanted to tell that many students have got supplementary exams this year,it's too far from average, I don't want to step a bit forward and spit out what I'm thinking as the reason for this seemingly strange and huge conference ever held at UDSM campus.
I present this topic and expose to you all,it is ,of course subject to comments and discussion,welcome hommies................................................by emmino,

Sunday, September 14, 2008

MDAU NA MSHIKAJI

Hello there!!! niaje wakubwa! mdau wa vyuotz (Francis philip) akiwa katika poz na mshikaji wake kutoka Belgium,TOM (Holder wa shahada ya kwanza ya uchumi).Maisha ni ushindani mkubwa kwa wale ambao mtazamo wao wa kutaka mafanikio ya maisha yao kuwa makubwa, ushindani huo ndio unaoleata kitu kinaitwa maisha ni mtihani, ili kufaulu mtihani huu unaowakabili wadau hawa wa kutaka mafanikio ya hali ya juu wanatakiwa kwanza kuushinda ushindani huu ( maneno haya ni mepesi sana kwa kuyaona na kuyasoma kwa watu wengi, lakini kwa walio kwenda shule kama ninyi wadau na washiriki wa blog hii ya wanafunzi ninauhakika mna cha ziada cha kuongea, kwa sababu maneno haya yamebeba vitu vingi katika ulimwengu wa uchumi wa kisasa),Maneno haya ya mshikaji yamenigusa sana hasa nikiwa kama mwanafunzi na ni mdau wa elimu ya juu ambaye mtazamo wangu unalingana kwa karibu kabisa na mtazamo wa mshikaji,Nini kifanyike ili mtu awe mshindani wa kweli wa maisha,awe na vitu vipi vya msingi, afaulu vipi mtihani huu,je kuwa entrepreneur peke yake inatosha kujibu maswali haya?!!! kazi kwenu wazee challenges hizo kutoka kwa mdau wa mtoni........
Francis philip
INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM)

THANKS A LOT GUYS



Hello guys there!!! hoping you are doing good with your holiday right!!!, ni mdau mwingine wa vyuotz akimaliza field attachment practice ya kwake katika hospitali moja maarufu sana hapa Dar es salaam Tanzania inayoitwa CCBRT (COMREHENSIVE COMMUNITY BASED REHABILITATION IN TANZANIA). Hii ndio timu ya ma Accountant iliyokamilika vya kutosha hapo hospitali iliyofanya jitihada ya kuhakikisha kuwa kijana wao Philip au maarufu kama Francis hapo ofisini anapata mafunzo ya kweli ya uhasibu na siyo kupanga mafaili kama wanafunzi wengine wanaofanya field wanavyofanyiwa katika baadhi ya ofisi hapa mjini.Lengo kuu la kuipost hii picha ni kutoa appreciation zangu kwao kuwa nawakubali sana hawa jamaa zangu, kutoka kushoto ni

Brother: ABDUL YAHYA (Chief Accountant)

FRANCIS PHILIPO (Mwenyewe mdau)

SOPHIA KALULO (Assistant Accountant)

STELLA MWAKAJILI (Assistant Accountant)

MAMA ZONAL (Assistant Accountant )

Brother EVODI NGUGO (Assistant Accountant)

Brother ALLY HAMZA (Assistant Accountant, bahati mbaya hakuwepo wakat picha inapigwa)

HURUKA KISSIWA (Assistant Accountant, alikuwa rikizo wakati picha inapigwa, nasikitika sana kuikosa picha yako mama mlezi).

May GOD bless you for all you have done to me my brothers and sisters.

Francis philip,

INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT (IFM)

SALAMU ZA WEEKEND KUTOKA RUSSIA....


Huyu ni Boniface Elphace Magina raisi wa wanafunzi wa kitanzania wanaosoma huko Urusi........
Nimezipata salamu zake weekend hii na zinawaendea wanafunzi wote wa kitanzania waliopo popote pale duniani!!
Kwa niaba yao namuambia zimewafikia...na ninatumaini wanafunzi kwa sasa wanaendelea vizuri mara baada ya matatizo yao ambayo yaliwakuta mwezi uliopita.
Anawaasa tuungane wanafunzi wote wa kitanzania popote pale tulipo duniani na njia ya kwanza ndio hii kwa kujua nini kinaendelea popote walipo wanafunzi wa kitanzania!!

Saturday, September 13, 2008

TUUNGANE WANAFUNZI WOTE KWA AJILI YA NCHI YETU!!


Kushoto ni Salome kutoka University of Dar es salaam na kulia ni Ramadhani selemani kutoka IFM.........
Wasemavyo!!...Ni vizuri wanafunzi wote wa kitanzania duniani kote tukaungana na kuwa na sauti moja bila kujali tofauti za kampasi zetu na maeneo tuliyopo.......
Sasa jamani mnaonaje tuifanyie promotion blog yetu ijulikane na wanafunzi wote wa kitanzania na baada ya hapo tuundeni chama cha wanafunzi wa kitanzania duniani kote!!....Ninasubiri maoni yenu wadau ili tuwe kitu kimoja,tusaidiane,tuwe na sauti moja na tupeane ushauri wa kimaisha....
TOENI MAONI WADAU TUONE TUFANYEJE ILI TUUNGANE....."UNITED WE STAND,DIVIDED WE FALL"..................
Kwanza tuitangaze blog ili iwe sehemu yetu ya kukutania.........halafu tutaongelea humuhumu maana inatuunganisha dunia nzima.

SALAMU KWA WADAU WOTE WA VYUOTZ


Huyu ni Emmanuel Mugogo mwanafunzi wa IFM Dar es salaam.........Anawakaribisha watu wote kwenye blog yetu na kama alivoniambia yeye na wenzake ni wadau wenzetu....
Salamu kwa wanafunzi wote wa kitanzania duniani kote!!
Hapa yuko ofisi moja kubwa huko mjini kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo.
ASANTENI SANA WADAU WOTE MNAOENDELEA KUTUTUMIA PICHA ZENU.......

Friday, September 12, 2008

DARUSO WATANGAZA MGOGORO NA UTAWALA WA UDSM.

Wadau kama mmefuatlia vyombo vya habari nadhani mtakuwa mmesikia kuhusu hii skendo ya hapo chuoni mlimani.Uongozi wa wanafunzi DARUSO umetangaza mgogoro usioisha na utawala wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutokana na Utawala kugoma kutoa matokeo ya watu ambao hawajamalizia ada zao.......
Sijui itakuwaje huko mbeleni...japokuwa sisi hatutamani mgomo utokee kwa sababu tunaju athari za migomo.....Nadhani DARUSO watakuja na solution nyingine tofauti na migomo tuliyozoea.....na ninaamini uongozi wa chuo utatoa matokeo ili kuepuka migogoro zaidi...
Migogoro haitusaidii bali inashusha hadhi yetu na kutudhalilisha.....Nadhani mazingira salama kwa wanafunzi wageni kutoka nchi za nje yanapokosekana hadhi ya chuo inashuka sana...............
Kwa hiyo tunaamini pande mbili za DARUSO na UTAWALA watakuja na ufumbuzi wa maana ili tubaki salama na tuendelee na masomo!!

MSAADA KWENYE TUTA!!

WADAU NAOMBA MNISAIDIE KATIKA HILI........Someni Email hii niliyotmiwa, nisaidieni swali gumu kidogo.

Habari ya kazi na samahani kwa usumbufu. Nina ndugu yangu anayehitaji kujiunga na kozi ya information technology chuo chochote atakachokubaliwa kwa ngazi ya diploma hapa Tanzania hasahasa Dar es salaam. Kutokana na tatizo la uwepo wa vyuo vivyo sajiliwa naomba msaada wa kujua ni vyuo gani kwa tanzania vinatoa kozi hiyo hasa vya serikali au mashirika ya dini kwa ngazi ya diploma na vimesajiliwa na serikali. Pia naomba nifahamishwe kuhusu chuo kilicho chini ya wizara ya ardhi kilichoko morogoro kuhusu kozi kinachotoa.
ASANTE SANA

Wednesday, September 10, 2008

HUYU NDIYE NAPE NNAUYE!!


Naamini mmeisikia skendo yake ya kufukuzwa kwenye chama tawala......
Okay nawatakia mafanikio kwenye michakato yao ya siasa.....

UNAJUA KINACHOENDELEA UDSM KWA SASA??

Ni machungu tu kwa wale watoto ambao ni kutoka kwa familia zinazoishi chini ya dola moja kwa siku!!
Hii ni kwa sababu tarehe za suplementary zinakaribia na hawajapata matokeo yao na wameambiwa bila kumalizia ada wanazodaiwa hawatapata matokeo yao...Hii inasababishwa na matokeo yao ya means testing ambapo inatakiwa baadhi ya asilimia walipie wao!!
sijui itakuwaje lakini vijana wamekata tamaa sana ...na hawataweza kupata fedha zao za kujikimu kwa sababu hawana matokeo na bodi ya mikopo haiwezi kumpa fedha mtu asiye na matokeo....
mh!! Sijui itakuwaje??

Sunday, September 7, 2008

HAWA NAO WATOZWE VAT......!!!!

Katika kipindi hiki watanzania wengi wanajitahidi kuwa wabunifu katika kuongeza ujuzi na kupanua uwezo wao kiuchumi, wengi wetu tunajitahidi kuwa na viBiashara au 'viji-ajira' vitakavyotuwezesha kusimama kwa miguu yetu .....!! JE wafanyabiashara hawa wadogowadogo (wapambaji, mama Lishe, ma-MC na wengineo) inawabidi kuchangia kiasi cha mapato yao kama kodi kwa taifa???? Au waachwe wasichangishwe kwani kipato chao ni kidogo kwa hzo ajira....!!!
wasomi najua wengi wetu tuna mipango au tayari tumeshaanza kufanya biashara kma hzo, mnaonaje walipe kodi kwa taifa au tuwaandae kuja kulipa kodi hzo baadae biashara zao zikishakua....!!!!!

Friday, September 5, 2008

HEBU TUAMBIENI BASI MAANA SISI TUNACHANGANYIKIWA!!

Bado wanafunzi wengi sana wa kitanzania waliopo hapa nyumbani wana ndoto za siku moja kuishi Ulaya au Marekani......Na nia yao ikiwa ni kupata maisha bora zaidi ya hapa nyumbani na kupaata Channel nzuri za kutoka maishani mwao!!
Sasa je ni kweli kuwa huko nje kuna maisha mazur zaidi ya hapa nyumbani au tunajidanganya...maana mimi mwenyewe mdau bado nina AMERICAN DREAM humu kichwani!!
Mliopo nje tayari mnaonaje?Je tuendelee kuota kuja huko ughaibuni au??...Na sisi tuliopo nyumbani tunasemaje au ndio tunazidi kupotoka??
MDAU LAZIMA SIKU MOJA NIKANYAGE STATES!!....AM I WRONG!!

HOLLA TO MY FELLOW STUDENTS!!

This is Karim Bhao a student from Tanzania institute of Accountancy(TIA) giving hi to all students all over Tanzania and Abroad..............
He is in the certain big office for the practical training!!....Waiting to hear from you other students and alumniz.

BONGO FLAVAZZZZ NDANI YA STATE HOUSE!!

Siku wasanii wa Bongo flava walipomzukia bwana mkuu hukohuko kwenye Jumba lake!!

TUNAWAONEA SANA HAWA WATU!!


Hapa ni mwanaharakati Joseph Toner ambaye analalamika kuwa albino nao ni watu sio wanyama....Hii inatokana na tabia iliyojitokeza hapa nyumbani ya kuchukua viungo vyao na kudhani kuwa watu watatajirika kupitia hivyo!!
Waganga wa kienyeji ndio waliosababisha hilo......
Msomi unawaamini hao waganga??...hizo propaganda zao!!
Kuna watu wametajirika kupitia kwa waganga lakini sio kuua ndugu zetu bwana!!Njia za kutajirika ziko nyingi....sawa sio wote tukimbilie kwenye kusoma lakini kuna njia nyingi bwana....kusoma sio njia pekee!!

Wednesday, September 3, 2008

TOGETHER WE CAN MAKE IT!!

Hallo marafiki mliopo sehemu mbalimbali duniani........Tunawaalika muweze kuwa mawakala wetu huko mliko,mkitutumia matukio ya huko,habari za huko,na picha za huko zinazojumuisha wanafunzi wa kitanzania au wahitimu wa kitanzania na kampasi zao....na events mbalimbali ambazo huwa mnafanya kwa pamoja kama watanzania mliopo huko!!
Kama uko tayari kuwa wakala wetu huko tafadhali tutafute kwenye
billjax2001@yahoo.com

Hii inajumuisha nchi kama Uingereza,Marekani,Canada,Algeria,China,Urusi na sehemu zote.....Utakuwa unatutumia stori,picha,matukio yoote yatuhusuyo.....

Ninaamini wadau mtajitokeza na kuanzia sasa mtaanza kututumia picha na matukio ya huko....na tunaomba muwe mnatutumia mada za kuongelea......

Kwa sasa hapa nyumbani Tanzania vyuo vingi vimefungwa..ila vikifunguliwa mtapata habari nyingi sana za kampasi za huku na matukio ya huku......

Tunawapenda sana na Asanteni kwa ushirikiano..

TOGETHER WE CAN MAKE IT!!

SIAMINI KILICHOTOKEA......


Wasomi mnalionaje hili....Nadhani mmefuatilia media na mmejua ya kwamba Hadija Kopa kaolewa....Tena huyo ni mdogo sana ukilinganisha na huyo mama ambaye ni mara ya tatu kuolewa.....Wasomi hebu semeni kitu kuhusu hili swala.......
Siamini kilichotokea jamani....au akili yangu inanidanganya??

HAYA WADAU MSHINDWE NYIE TU!!VIFAA HIVI HAPA.....


LAPTOPS NA/AU PRINTERS KWA BEI RAHISI:

Usipitwe!!!!
Hii ni “special offer” kwa Wanavyuo wote popote pale mlipo chuoni Tanzania. Joe & Tom Computers inapenda kuwatangazia kwamba kuanzia sasa tumeanza kuuza Pre-owned Lapotops na/au Printes kwa wanavyuo popote pale Tanzania kwa bei rahisi sana. Kwa takribani miaka sita sasa Joe & Tom Computers imekuwa ikiuza bidhaa hizi ndani ya USA, CANADA, South America, na visiwa vya Caribbean tu. Hii ni kutokana na ugumu uliokuwepo wa jinsi ya kusambaza huduma yetu kwa ufasaha katika nchi yetu Tanzania. Huduma yetu nzuri ni msingi wa mafanikio yetu na mteja kwetu ni mfalme. Mafanikio yetu makubwa yametufunza mengi na sasa mikakati imekamilika ya jinsi ya kuendesha bishara hiyo hapo nchini Tanzania.

Bei Zetu!!!!
Bi zetu uanzia $250 kwa lapotop ambayo bado iko kwenye hali nzuri sana na $100 for the three in one printers (Printer + copier +Fax). Mpaka leo jioni tumebakiwa na unit za laptops 25 na printer 17 in our stock.

Malipo Je!!!
Kamwe hatupokei pesa mpaka umepokea item yako. Tuna mawakala wetu hapo Tanzania ambao watakuletea laptop/printer yako popote pale ulipo chuoni Tanzania na hapo ndipo utafanya malipo. Malipo tunapokea in Tsh. based on the exchange rate ya wakati huo utakapo toa order yako. Gharama za kusafirisha mzigo mpaka ulipo ni juu yetu sisi.

Store yetu iko in The Woodlands, TX, na unaweza kuwasiliana nasi kupitia email address
joehous@yahoo.com Kama unataka kupigiwa simu orodhesha namba yako kwenye message. Asanteni sana!

Joe

Tuesday, September 2, 2008

WENZETU WANAKIMBIA SISI TUNATAMBAA! HAAH!!




Samahani wadau wangu wa vyuotz...hili swala limeniumiza kichwa kwa muda mrefu sana kwa hiyo nimebidi nililete kwenu.......


Mwaka 1961 wakati nchi ya Tanzania inapata uhuru...inavyosemekana tulikuwa sawa kiuchumi,miundombinu na vinginevyo na nchi kama Malaysia,Singapore,Korea na nchi nyingi za Asia....Lakini ukiangalia kwa sasa wametuacha mbali mno katika nyanja za uchumi,miundombinu na maendeleo kwa ujumla na huwezi kuamini kama hapo mwanzo tulikuwa sawa!!


Sasa ni nini kinachosababisha wao watuache sana kiasi hicho....Iweje wao wanakimbia sisi tunatambaa??....Wasomi jamani hebu ongeleeni hili kidogo...nanyi mlio nje ni nini hasa kinachofanya sisi tuwe nyuma...sera za huko zikoje?hebu angalia picha za jiji letu la DSM hapo juu...jiji ambalo linaaminika kuwa mwaka 1961 lilikuwa sawa na jiji la Seoul la Korea!!


NASUBIRI MICHANGO YENU WADAU!!

GLOBU YA INJILI JAMANI!!

Ndugu zangu wanablog nimetumiwa ujumbe huu na mwenzetu dada Mary kuwa nimtangazie blog yake ya injili.......Ni muda wa kumkumbuka Mungu sasa...Someni ujumbe huu hapa.....

Habari yako ndugu? Kama unaweza tafadhali waweza kunitangazia blog yangu ya injili www.strictlygospel.wordpress.com kwa kupitia blog yako? Nitafurahi sana pia wanafunzi wakiifahamu. Asante sana Mungu akubariki


Mary

LAPTOPS FOR SALE!!

Hi,
Nimekutana na hii blog ya vyuo TZ nikiwa na-surf kwenye web nikaona niwasiliane nawe. Kwa kifupi mimi ni mwanafunzi mtanzania ambaye niko USA kwa muda mrefu sasa. Mbali na kuendelea kusoma na kuishi, nina part time business yangu ya Laptop Computers Service. Wateja wangu wengi ni wa hapa USA kupitia e-commerce, ila pia nimeshafanya biashara na wateja wa nyumbani Tanzania kwa special orders.

Kupitia kwenye blog yako ninaomba unitangazie kama kuna mwanafunzi yeyote huko Tanzania ambaye angependa kununua laptop computer (second hands) kwa bei rahisi basi tuwasiliane kupitia
joehous@yahoo.com . Mpaka wakati huu nina more than 39 units in my store; different brands and models ambazo ziko tayari kuwa shipped out. My price normally starts around US $250 and up + shipping cost. Pia nauza brand new printers; three in one printers (printer + Copier + Fax machine) ambazo ni kitu muhimu pi kwa academic needs. Bei ni kuanzia US$ 100 and up + shipping fee.

Kuhusu malipo ni kwamba nina mawakala wangu hapo Tanzania ambao watakuletea laptop/printer yako popote pale ulipo chuoni Tanzania na hapo ndipo utafanya malipo. Malipo napokea in Tsh. based on the exchange rate ya wakati huo utakapo toa order yako. Shipping cost unazolipia ni only za airflight charges; gharama za kusafirisha mzigo mpaka hapo chuoni ulipo ni juu yetu sisi. Kwa mawasiliano zaidi nitumie message kwenye e-mail
joehous@yahoo.com .
Asante sana!

Monday, September 1, 2008

WASOMI MNAIELEWA BIG BROTHER!!


Kama mnavyofahamu kuwa mashindano ya big brother Africa yanaendelea huko Afrika kusini................

Uwa naifuatilia lakini kwa kweli akilini mwangu bado sijaelewa kuwa inatusaidia nini na inaonyesha nini katika jamii yetu ya Kitanzania.......Sijui nimekosea au niko sawa ila mimi naona haifai hata kuwepo kutokana na vitendo vinavyoendelea mle ndani ya lile jumba....Mapenzi,Ulevi, na vinginevyo ambavyo si vizuri kwa nafsi yangu....Sasa kama wasomi nyie mnaionaje BIG BROTHER AFRICA Je inafaa??

Tulimtuma Mwisho Mwampamba akawa wa pili...Richard akashinda na wote walifanya vitendo sio vizuri ndio wakashinda.....Sasa Je dada Latoya atafanya nini ili ashinde...atatuletea Shemeji??..........

Maana mpaka ushinde ni mpaka ufanye mambo flani hivi!!....anasa ,ulevi ,kujichanganya ndio watu watataka ubaki....Na hii imedhihirisha kuwa watanzania vitu visivyotaka maarifa mengi ndio tunashinda...lakini kama michezo inayotaka maadalizi na maarifa ni wa mwisho...

Kwani nyie wasomi mnalionaje hili swala??...Nasubiri maoni yenu.....

SASA KWA NINI TUNASOMA?

Nilipoipost hiyo picha ya huyo dada na mafanikio yake wengi wametoa maoni mengi sana na kila mtu akaelezea sababu yake ya kusoma na sababu kubwa ya kutafuta elimu......

Naona wachangiaji wengi bado hawaelewi sababu za sisi kwenda shule na vyuoni kusoma!!

Bado nabaki na msimamo wangu kuwa tunasoma ili tufanikiwe maishani....Kufanikiwa maishani kunajumuisha kuwa na vitu vizuri kama magari,manyumba,mashamba na kukidhi mahitaji yako ya kila siku na ya familia........

Dhana ya tunasoma ili tupate maarifa,kuheshimiwa,kuwa mstaarabu,kuelimika na vinginevyo bado nasema ni uongo kabisa.....siku ulipokuwa unanyanyua begi lako kwenda hicho chuo ulichofuata sababu kubwa ilikuwa ni hiyo niliyotaja?....Kweli??



Je unaikumbuka kauli ya mwl Nyerere kuhusu sababu ya watu kusoma??....Ntawapa hiyo kauli hapo baadaye afu mtanikubalia!!



Sasa kwa nini tunasoma kama hatutaki mafanikio ya vitu nilivyovitaja??....Wewe ambaye ulishamaliza kusoma je umepata ulichokitarajia??...Maana matarjio yetu ndio hayo!!



TOENI MAONI WADAU...KWA NINI TUNASOMA?